NEW UPDATES

SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KWA WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA KUFATIA AJARI ILIYOPOTRZA MAISHA YA WANAFUNZI 32 HUKO KARATU


SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KWA WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA KUFUATIA AJALI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WANAFUNZI 32 HUKO KARATU

Watanzania wenzangu,  ninaungana na Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, pamoja na Mheshimiwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kutoa pole nyingi sana kwa uongozi wa shule ya Lucky Vicent pamoja na wazazi wa watoto waliopoteza maisha kwenye ajali ya jana. 
Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu cha majonzi. Tunamuomba Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi. Amina. 
Mhe. Kassim Majaliwa (MB.)Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Michuzi 

Read more 

Habari Zinazoendana

3 years ago

Michuzi

SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS JAKAYA M.KIKWETE NA WAZIRI WA UCHUKUZI MHE MWAKYEMBE NA MKUU WA MKOA WA MARA KWA AJALI MBAYA YA BASI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA ZAIDI YA 40


Chama cha Ujenzi wa Taifa cha NRA ,(National Reconstruction Alliance); kinatoa salamu za pole/rambirambi kwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mhe Jakaya Kikwete, Waziri za Uchukuzi, Mkuu wa mkoa wa Mara na Wafiwa kwa ajali mbaya ya Basi iliyopelekea kupotea kwa maisha ya watanzania zaidi ya 40, akiongea kwa njia ya simu akiwa katika ziara ya kikazi mkoani  kigoma Naibu KATIBU MKUU NA KATIBU MKUU wa BODI ya chama Mhe Hassan Kisabya (pichani) , ametoa salamu hizo kwa niaba ya Chama...

 

(Yesterday)

Michuzi

UPDATE: TAARIFA YA KAMANDA WA POLISI MKOANI ARUSHA KUFUATIA AJALI YA GARI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WANAFUNZI ZAIDI YA 30 HUKO KARATU LEO

Zoezi la uokoaji kwa wanafunzi hao likiendelea. 
Zoezi la uokoaji likiendelea. 
 Majina ya Baadhi ya wanafunzi waliotambulika mpaka sasa.

 

(Yesterday)

Michuzi

RAIS DKT. MAGUFULI ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA VIFO VYA WANAFUZI 32 KATIKA AJALI YA GARI ILIYOTOKEA LEO, KARATU

 

2 years ago

Michuzi

04MAR

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA KUFUATIA AJALI YA MVUA KUBWA

 

(Yesterday)

Malunde

RAISI MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI VIFO VYA WANAFUNZI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA BASI KARATU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa ya vifo vya wanafunzi 32 wa darasa la saba, walimu 2 na dereva wa gari la shule ya msingi iitwayo Lucky Vicent ya Arusha vilivyotokea leo saa 3 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha.Wanafunzi na walimu hao walikuwa wakitoka shuleni kwao kwenda shule ya msingi iitwayo Tumaini kwa ajili ya kufanya...

 

3 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mheshimiwa Fatma Mwasa kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 19 Agosti, 2014 katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora.
Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...

 

3 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mheshimiwa Paschal Mabiti,kuomboleza vifo vya watu 11 ambao wamepoteza maisha yao katika ajali ya basi iliyotokea mkoani humo Jumatatu, Aprili 21, 2014. 
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha  kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia. 
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...

 

4 months ago

Channelten

11JAN

Agizo la waziri mkuu Kassim Majaliwa alilo litoa wilayani Karatu

Serikali mkoani Arusha imesema busara ilipaswa kutumika zaidi katika utekelezaji wa agizo la waziri mkuu Kassim Majaliwa alilo litoa wilayani Karatu katika bonde la Eyasi kuhusu kusogezwa kwa mashine za kuvuta maji umbali wa mita 500 kutoka chanzo cha maji katika bonde hilo linalo tumika kwa kilimo cha Mazao mbalimbali.

Katika agizo Lake, waziri mkuu, aliagiza kusogezwa kwa mashine za kuvuta maji kutoka chanzo cha maji cha bonde la Eyasi ambapo wakati mchakato wa utekelezaji ukiendelea...

 

3 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa arusha kufuatia vifo vya watu katika ajali iliyotokea jijini humo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Magesa Mulongo kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 30 Oktoba, 2014 katika eneo la Makumira Wilayani Arumeru katika Mkoa wa Arusha na kusababisha vifo vya abiria 12 papo hapo na wengine kujeruhiwa. 
 “Nimeshtushwa na kusikitishwa sana kutokana na ajali hii mbaya ambayo kwa ghafla imeondoa uhai wa wenzetu 12 wasio na hatia kutokana na...

No comments

https://instagram.com/bakihotnews?utm_medium=copy_link