NEW UPDATES

BREAKING NEWS:- Kamanda siro afunguka sakata la kukamatwa kwa Roma.

07 April 2017
Breaking news....... Kamanda #siro afunguka sakata la Kukamatwa kwa Roma.... zaidi soma hapo chiniii..................
BAKI HOT NEWS
Kamanda wa police wa kanda maalumu ya Dar es salaam amesema wanazo taarifa za kukamatwa kwa mwana muziki wa hip hop maarufu kwa Roma mkatoriki na kwamba wamesha fungua jarada, vile vile ameongeza kwa kusema kua Kikosi chake kiko mtaani kwaajili ya upelelezi wa taarifa hiyo. Aidha amewatoa hofu wananchi kwamba wasiwe na wasiwasi.
Hussein bashe amefunguka kwa kuwaomba wana ccm kuondoa woga katika kupigania haki, Mbunge wa nzega amesema kitendo cha kukumatwa kwa msanii si swala la kupuuzia hivyo ccm wanapaswa kuwajibika na kutoa ushirikiano juu ya swala hilio. pia Nape nae amesikitishwa kwa kitendo hicho.
at Bakihotnews

No comments

https://instagram.com/bakihotnews?utm_medium=copy_link