NEW UPDATES

DIEGO COSTA AKWEA PIPA KUELEKEA HISPANIA.

DIEGO COSTA AKWEA PIPA KUELEKEA HISPANIA

Mchezaji anayeondoka Chelsea Diego Costa amekwea pipa akitokea Brazil kwenda Hispania akitarajia kujiunga tena na klabu yake ya Atletico Madrid kwa dau nono.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania amesema hana kinyongo na kocha Antonio Conte, licha ya kocha huyo kumtumia arafa isemayo hana mpango naye.

Hatimaye Costa amekubali kurejea kwenye klabu yake hiyo ya zamani ya Atletico, ambapo uhamisho wake utakamilishwa Januari, baada ya kuondolewa katazo la kusajili La Liga.


Diego Costa akiagana na watu katika uwanja wa ndege wa Brazil kabla ya kupanda ndege kuelekea Hispania

Share :

Facebook Google+ Twitter

Related Posts :

No comments

https://instagram.com/bakihotnews?utm_medium=copy_link